Monday, June 22, 2015

MTIA NIA UBUNGE JIMBO LA KILOSA KUPITIA CHADEMA RAJAB MSABAHA KAUZELA AENDELEA NA ZIARA YA UFUNGUZI WA MATAWI YA CHADEMA KILOSA






Mtia nia Ubunge Jimbo la Kilosa CHADEMA Rajab Msabaha Kauzela akitembelea maeneo mbalimbali Jimboni Kilosa kukutana na wakazi na kujionea hali halisi ya wakazi hao na matatizo mbalimbali yanayowakabili.
Pichani Rajab Msabaha Kauzela akiwa na baadhi ya wakazi wa Kilosa alipowatembelea kuona hali halisi ya maisha yao ya kila siku. Kauzela alipata muda wa kuongea na wakazi hao na kujua matatizo mbalimbali yanayowakabili pamoja na kuwa na ardhi yenye rutuba na vyanzo mbalimbali vya Uchumi ikiwemo kilimo na ufugaji.

No comments:

Post a Comment