Monday, June 22, 2015

KADA MAARUFU WA CCM MAFIA AJIVUA GAMBA NA KUHAMIA CHADEMA

Mwenyekiti wa CCM Tawi la Kigamboni wilaya ya Mafia Mohamed Makungu amekihama chama chake cha CCM na kujiunga na CHADEMA. Pichani Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani Mabere Nyaucho Marando akimkabidhikadi.

No comments:

Post a Comment