Wednesday, June 3, 2015

MAPOKEZI YA KATIBU MKUU WA CHADEMA DR WILBROAD SLAA MKOANI KATAVI

Msafara wa pikipiki na magari mjini Katavi leo wakati wanachama, mashabiki, wapenzi na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) walipojitokeza kwa wingi kumpokea Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dk. Willibroad Slaa ambaye yuko kwenye ziara ya mikoa ya Mbeya, Rukwa na Katavi akikagua zoezi la uandikishaji wapiga kura kwa mfumo wa BVR, kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwa wingi kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura huku pia akikagua maandalizi ya chama kwenda kushinda uchaguzi mkuu mwaka huu.


No comments:

Post a Comment