Friday, September 29, 2017

Mbunge wa Kilombero Peter Lijualikali akamatwa na Polisi

Polisi wamemkamata mbunge wa jimbo la Kilombero, Mh. Peter Lijualikali, jioni ya leo, alhamis, 28/09/2017, baada ya kumaliza kikao cha ndani cha chama mjini Malinyi Ulanga.

No comments:

Post a Comment