Tuesday, December 1, 2015

HATIMAYE ALPHONSE MAWAZO AZIKWA KIJIJINI KWAO GEITA

Mheshimiwa Edward Lowassa na Mheshimiwa Freeman Mbowe wakiwa kijijini alipozaliwa Alphonse Mawazo ambapo shughuli za mazishi zimefanyika.

Mke wa Alphonse Mawazo akishriki mazishi ya mumewe yaliyofanyika Kijijini kwao Mkoani Geita.

Mtoto wa Alphonse Mawazo Preciuos Mawazo akionekana mwenye sura ya huzuni wakati wa mazishi ya Marehemu baba yake.
Precious Mawazo akibusu mwili wa marehemu baba yake.


Jeneza lililobeba mwili wa Alphonse Mawazo likiingizwa kwenye kaburi.


No comments:

Post a Comment