Sunday, June 14, 2015

MTIA NIA WA UBUNGE JIMBO LA KILOSA KUPITIA CHADEMA NDUGU RAJAB MSABAHA KAUZELA AANZA RASMI SAFARI YAKE YA KUWAKOMBOA WANA-KILOSA

Rajab Msabaha Kauzela  mtia nia wa Ubunge Jimbo la Kilosa  ambaye pia alikuwa Katibu Mwenezi wa Tawi a CHADEMA Washington DC

Rajab Msabaha Kauzela (wa nne kutoka kushoto) akiwa na mnadhimu wa kambi ya upinzani ambaye pia ni mbunge wa Singida Mashariki Mh Tundu Lissu (wa tatu kutoka kushoto) pamoja na viongozi wengine wa chadema Morogoro.

Rajab Msabaha Kauzela akiwahutubia wakazi wa Kilosa waliokusanyika kumsikiliza katika mkutano wa hadhara, akielezea mikakati yake endapo wana-Kilosa watampendekeza kuwamwakilishi wao katika nafasi ya Ubunge kupitia CHADEMA.

Pichani Rajab Msabaha Kauzela akiwa na Wazee wa Kilosa akiomba baraka zao ili wakubali kumpitisha kuwa mwakilishi wao katika Kinyang'anyiro cha Ubunge Jimbo la Kilosa


Wanafamilia wakimsikiliza Rajab Msabaha Kauzela alipokuwa akibadilishana nao mawazo kuwaelezea azma yake ya kutaka kugombea Ubunge Jimbo la Kilosa.
Rajab Msabaha Kauzela akiwa amepiga picha pamoja na wanafamilia siku alipokuwa anawaambia azma yake ya kutaka kugombea Ubunge Jimbo la Kilosa.



No comments:

Post a Comment