Saturday, August 9, 2014

WAWILI WATOA USHAHIDI WA NJAMA HARAMU DHIDI YA VIONGOZI WA JUU WA CHADEMA


Picha za leo wakati Sebastian Peter Mzuka na Zacharia Martine Mfuko, walipoweka wazi mkakati mzima wa kulipua chopa iliyowabeba Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Slaa, Makamu Mwenyekiti Zanzibar Said Issa Mohamed, Mbunge wa Ubungo John Mnyika, Mwenyekiti wa Kanda ya Ziwa Mashariki Sylvester Kasulumbayi mbele ya waandishi wa habari leo. Pia waliweka hadharani mkakati unaopangwa na CCM kwa kutumia tawi lake jipya la ACT kujaribu kuua upinzani nchini hasa kwa kudhoofisha CHADEMA.


No comments:

Post a Comment