Habari zilizotufikia zinasema kwamba Mbunge wa Singida Mashariki mheshimiwa Tundu Lissu ameshinda kesi yake ya kupinga matokeo ya ubunge iliyofunguliwa na wanachama wa Chama cha Mapinduzi Shabani Itambu na Paschal Hallu, kesi ambayo hukumu yake imetolewa leo na Jaji Moses Mzuna wa Mahakama kuu Kanda ya Kilimanjaro. Kesi hiyo ilianza kusikilizwa kwa mara ya kwanza tarehe 12 Machi 2012.
HABARI KAMILI KUWAJIA BAADAE
No comments:
Post a Comment