Friday, September 22, 2017

KUTOA NI MOYO SI UTAJIRI. TUENDELEE KUCHANGIA MATIBABU YA MZALENDO WA KWELI MPAMBANAJI TUNDU LISSU

Jinsi ya kuchangia matibabu ya mpambanaji wetu Tundu Lissu.

Ofisi ya CHADEMA Makao Makuu inapenda kuwataarifu wale wote ambao wanahitaji kutuma mchango wao wa kuchangia matibabu ya Mhe.Tundu Lissu kwamba wanaweza kufanya hivyo kupitia akaunti ya Chama yenye jina la "Chadema M4C" katika Benki ya CRDB ambayo ni: 
Benki: CRDB.
Jina la Akaunti: CHADEMA M4C.
Namba: 01J1080100600.
Tawi: MBEZI BEACH.
Huhitaji kwenda Benki,
Unaweza kuchangia kwenda kwenye akaunti hiyo ya benki kupitia huduma za M-PESA au Tigo Pesa na au Airtel Money kama ifuatavyo:

1. Kuchangia kupitia M-PESA
Piga: 150*00# chagua 6 - Huduma za Kifedha, kisha chagua 2 - M-PESA kwenda Benki kisha chagua 1 CRDB na kisha 1 weka namba ya akaunti ambayo ni 01J1080100600.
Baadaye malizia kwa kufuata maelekezo

2. Kuchangia kupitia Tigo Pesa

Piga: *150*01# chagua 6 - Huduma za Kifedha, kisha chagua 1 Tigo pesa kwenda Benki, kisha chagua 1 CRDB na kisha 1 kuingiza namba ya kumbukumbu ambayo ni 01J1080100600.
Baadaye malizia kwa kufuata maelekezo.

3. Kuchangia kupitia Airtel Money
Piga *150*60# chagua 1 Tuma Pesa, kisha chagua 1 Tuma kwenda Benki kisha chagua 2 CRDB Bank na kisha 1 ingiza namba ya akaunti ambayo ni 01J1080100600.
Baadaye malizia kwa kufuata maelekezo.

Aidha, unaweza kutuma moja kwa moja mchango wako kwa njia ya M-PESA kupitia namba 0759865786 yenye jina la "Ester Matiko" Mbunge wa jimbo la Tarime mjini kupitia CHADEMA.




No comments:

Post a Comment