Sunday, March 13, 2016

Dk. Vicent Mashinji ndiye Katibu Mkuu Chadema

DAKTARI Vicent Mashinji ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kupitishwa na Baraza Kuu la Chadema, katika kikao chake kilichokaa jijini Mwanza, anaandika Mwandishi Wetu.

Katika Kikao hicho cha Baraza Kuu, Freeman Mbowe alitangaza jina la Dk. Mashinji na kuungwa mkono na wajumbe wa baraza hilo, hivyo anajaza nafasi iliyoachwa na Dk. Willibrod Slaa, aliyejienguwa ukatibu mkuu wa chama hicho.

Jina la Dk. Machinji halikuwa miongoni mwa wanachama wa Chadema ambao walikuwa wanatarajiwa kumrithi Dk. Slaa kwani waliokuwa wanatabiriwa kukatia kiti hicho ni Salum Ally Mwalimu, Frederick Sumaye, Benson Kigaila, John Mnyika, Dk. Marcus Albanie na Prof. Mwesiga Baregu.

Nafasi ya Katibu wa Chadema ilikuwa wazi tangu Dk. Slaa alipoondoka Chadema muda mfupi baada ya chama hicho kumpitisha Edward Lowassa aliyetokea CCM kuwa mgombea urais wa chama hicho na kuungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

Wasifu wa Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Vincent B. Mashinji

Professional experience

Clinical Advisor & TB/HIV lead

UMSOM-IHV

July 2008 – Present

ART Program Doctor/IMA team lead

IMA Worldhealth

August 2006 – June 2008 (1 year 10 months)

Medical Officer/Anaesthesiology

Regency Medical Centre

October 2005 – August 2006 (10 months)

Medical Officer

Muhimbili National Hospital

August 2003 – October 2005 (2 years 2 months)

Research Assistant

Freelance

November 2002 – August 2003 (9 months)

Intern Docor

Muhimbili National Hospital

September 2001 – October 2002 (1 year 1 month)

Education history

Open University of Tanzania

PhD

August 2010 – Present

AMREF/UCLA Anderson School

MDI Certificate

April 2010 – April 2010

Blekinge Institute of Technology

MBA

September 2007 – March 2010 (2 years 6 months)

UMSOM-IHV

IPEP Certificate

May 2008 – May 2008

Evin School of Management

Certificate in CSR

October 2005 – October 2005

Muhimbili University College of Health Sciences

MMed/Anaesthesiology

September 2003 – April 2005 (1 year 7 months)

Muhimbili University College of Health Sciences

Certificate in Research Methodology

September 2004 – September 2004

Makerere University

MBChB

October 1995 – July 2001 (5 years 9 months)

Mzumbe High School

ACSEE

July 1992 – June 1994 (1 year 11 months)

St. Pius X Seminary, Makoko

GCSEE

January 1988 – October 1991 (3 years 9 months)

Iligamba Primary School

Leaving Certificate/Primary School

January 1981 – October 1987 (6 years 9 months)


MwanaHalisiOnline

No comments:

Post a Comment