Sunday, August 16, 2015

LAWRENCE MASHA AJIUNGA NA CHADEMA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Nyamagana (2005-2010) jijini Mwanza
kwa tiketi cha Chama cha Mapinduzi(CCM) Lawrence Masha leo hii amejiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA jijini Arusha wakati wa kumtabulisha mgombea wa UKAWA na CHADEMA mheshimiwa Edward Lowassa.

No comments:

Post a Comment