Thursday, July 23, 2015

TASWIRA: MKUTANO WA CHADEMA MWANZA

Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa akihutubia mamia ya wakazi wa Mwanza waliohudhuria katika mkutano mkubwa uliofanyika jijini hapo jana.

Mbunge wa Singida Mashariki na Mwanasheria wa CHADEMA Mh Tundu LISSU akiwahutubia wakazi wa Mwanza jana.

Mbunge wa Viti Maalum Kutoka mkoa wa MARA aliyehamia CHADEMA kutoka CCM Mh Esther Bulaya akihutubia katika mkutano mkubwa jijini Mwanza jana.

Mbunge wa Nyamagana Mh Ezekiah Wenje akihutubia katika mkutano jijini Mwanza.

Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA bara Mh John Mnyika akiwa na Mbunge wa Kahama aliyejiunga na CHADEMA kutoka CCM Mh James Lembeli wakiwapungia mikono wakazi wa Mwanza.

Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Bara Prof Abdallh Safari (aliyevaa miwani) akiongozana na Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa (katikati) na Mbunge wa Musoma mjini Mh Vicent Nyerere(kushoto)

Waliokuwa wabunge wa CCM waliohamia CHADEMA mh James Lembeli (Kulia) na Mh Esther Bulaya (kushoto)

Mwenyekiti wa Baraza la wanawake Taifa CHADEMA Mh Halima Mdee akiwa na Mh Esther Bulaya wakiwapungia mamia ya wakazi wa Mwanza waliofika kuwalaki.

No comments:

Post a Comment