Thursday, February 27, 2014

TASWIRA ZA KAMPENI ZA UCHAGUZI WA UBUNGE KALENGA

Kamanda Mawazo akiwa na makamanda wa Magulilwa wakiimba na kucheza kabla ya mkutano wa kampeni

Katibu Mkuu akifurahia jambo na mtoto mdogo wa Kijiji cha Magulilwa baada ya mkutano wa Magulilwa

Mgombea Grace Tendega akisalimiana na wakazi Kijiji cha Magulilwa baada ya mkutano wa kampeni

Mgombea akisalimiana na wananchi wa Magulilwa


Igumla, Kata ya Luhota, mgombea akisalimiana na wanafunzi

No comments:

Post a Comment