Monday, April 30, 2012

CHADEMA WASHINDA KESI YA UBUNGE SUMBAWANGA MJINI

CHADEMA WASHINDA KESI YA UBUNGE SUMBAWANGA MJINI

Matokeo hayo yametenguliwa katika kesi ya pingamizi la ushindi wa Mbunge huyo iliyofunguliwa na mgombea wa CHADEMA,  Mwalimu Norbet Joseph Yamsebo  kufuatia kasoro zilizojitokeza wakati wa uchaguzi wa mwaka 2010 ikiwa ni pamoja na madai ya kutoa rushwa  kwa makundi mbalimbali ambapo watu wengi walijitokeza kutoa ushahidi na kukiri kuwa ni kweli walipokea vitu kama vile fedha, baiskeli, pikipiki, vinywaji, kinanda kwa Kanisa Katoliki n.k. 
Kiti hicho kilichokuwa kikishikiliwa na Aeshi Khalfan Hilaly, CCM, sasa kipo wazi.






CHANZO: http://www.wavuti.com

HABARI NILIZOPATA SASA HIVI KUHUSU  KESI YA KUPINGA  USHINDI WA MBUNGE WA CHADEMA BIHARAMULO MHESHIMIWA MBASSA,  YANASEMA KWAMBA MHESHIMIWA MBASSA AMEIBUKA MSHINDI NA KUTUPILIA MBALI SHAURI LA MGOMBEA WA CCM.

No comments:

Post a Comment