Monday, September 3, 2012

CCM YAENDA KINYUME NA MARUFUKU YA SENSA

JANA polisi walizuia chadema kufanya mikutano Iringa kwa madai wamezuia mikutano ya siasa kupisha zoezi la sensa lakini wakati huohuo CCM Jana imezindua kampeni Zanzibar kama inavyoenekana pichani. Dkt Bilal Azindua Kampeni Za Uchaguzi Mdogo Wa Jimbo La Bububu-Zanzibar. 

Chanzo JF

No comments:

Post a Comment